Monday, June 1, 2015

Unatazamia tanzania ipi 2020?



Je wewe unatazamia Tanzania ipi ifikapo 2020?
Mawazo yako yatafanyika changamoto ili kuchagua kiongozi bora…
Ungependa kuweka fikra hadharani?
Tuma mawazo yako pamoja na picha yako au yoyote kupitia
whats app +255714041432 au inbox           


Mimi Asanteyawe natazamia 2020 itakapofika……
Tanzania iendelee kuwa na Amani, upatikanaji wa ajira. Huduma za Afya, Maji, na Nishati ziwe rahisi

Tzat2020

Je wewe unatazamia Tanzania ipi ifikapo 2020?
Mawazo yako yatafanyika changamoto ili kuchagua kiongozi bora…
Ungependa kuweka fikra hadharani?
Tuma mawazo yako pamoja na picha yako au yoyote kupitia
whats app +255714041432 au inbox           


Tzat2020


Friday, September 27, 2013

city centre.. the place you can feel

In Tanzania every place has unique nature from bult-up (urban) to rural.. when you are in town you can fail to get the place to stay because of popularity. In dar es salaam city centre (posta) the nice place to rest is
garden around the NBC bank and the ocean the area is nice and free

Tuesday, September 24, 2013

Amani ..Peace

Tumeyasikia matukio ya kutisha yakivuruga amani ya nchi jirani ya Kenya kama shambulio la kigaidi linalosadikika kufanywa na Al-shabaab katika jengo la Westgate Mall Kenya na sisi Watanzania tuwe makini kutambua watu na mambo ambayo yanaweza kujitokeza tunapokuwa katika mahali husika hasa katika majengo makubwa na kuwahi kuyaripoti mapema kwenye vyombo husika mapema
... "PEACE AND LOVE TANZANIANS"

Wednesday, March 6, 2013

BEAUTFULLY LAND OF TZ, GOOD MUSICS

Picha za Tanzania: vyungu vinavyotengenezwa kwa manzari nzuri na udongo wa minyanzi:
MUSICS FROM TANZANIA:
Flavour - ABDU KIBA - HATUNA HABARI NAO.mp3